kanywaino
Senior Member
- Sep 10, 2010
- 171
- 19
mh haya mapambano mema ila asije kuwa kama mzito wa kigoma keshasahau wananchi anakla vya mafisadi tuuuKatibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo, Dr. W. P. Slaa atazindua kampeni za chama chake mjini Igunga kesho kutwa, alhamisi kwenye mbio za kuwania ubunge wa jimbo hilo.
Source: Radio One.