ama kweeli umaarufu hauji bure bila kuwa busy.................huhMkapa huwa anatumia neno moja tu linalowakilisha wapinzani, KOKOTO. Huyu mzee namkubali sana.
Mkapa huwa anatumia neno moja tu linalowakilisha wapinzani, KOKOTO. Huyu mzee namkubali sana.
Unajifurahisha mwenyewe ila ukweli unaujua moyoni mwako.Naheshimu mtu akiwa kazini najua uko kazini.Sasa a loser Dr Slaa, anaandaa hayo makombora anajisumbua bure, hata hao mafisadi anaoangaika kuwataja wakipelekwa mahakamani Mabere Marando yupo watampa pesa then atawatetea.
A loser Dr Slaa, nadhani angetulizana tu ingekuwa bora kwake
Hii thread iunganishwe na ile nyingine ambapo nimechangia jinsi ninavyomkubali Mkapa kwa kuwaita wapinzani KOKOTO. Hopefully mods will do the needful, won't they?
Mara baada ya C.C.M kumteua Rais mstaafu B.W Mkapa kuongoza kampeni za Igunga.Kumeibuka mjadala ktk vyombo vya habari na ktk jamii na hapa Igunga ndio kumetia fora.Wana Igunga wamekuwa wakimjadili kila wakati Mkapa kana kwamba yeye ndio anagombea.Wananchi hapa Igunga kila kilinge vijana kwa wazee wanamkubali mkapa kwa kusema amefanya makubwa ktk awamu yake ukilinganisha na awamu ya sasa.Kati ya viongozi waliotumwa na vyama vyao kuzindua kampeni Igunga ni kiongozi mmoja tu ambaye anamvuto naye ni Mkapa.Vyombo vya habari na hasa magazeti yamekuwa mstari wa mbele kumjengea umaarufu mtu huyu hivyo watu kuacha kujadili Slaa na seif na kumjadili Mkapa.Watu hapa Igunga wanashangazwa na ukimya wa Mkapa na kupelekea kuwa na hamu ya kuhudhuria kampeni za CCM ili wasikilize kauli yake juu ya wanaomchafua.Ukweli ni mchungu na mimi naumia ila CCM wamelamba karata ya turufu.Maana hata watu wa Nzega na Ulambo nasikia fununu hapa kuwa watahudhuria uzinduzi wa kampeni za CCM hiyo j'mosi lengo kumsikiliza Mkapa hasa ukizingatia umahiri wake wa kuzungumza na kujenga hoja.Wadau tuwe makini na hali ya vyombo vya habari kumpa umaarufu Mkapa na kupelekea chama chetu kutojadiliwa sana kwa watu wa kada zote.Huu ndio ukweli najua baadhi mtapinga ila vyombo vya habari vinatuharibia.
Hamna Mtanzania asiyemkubali Mkapa kwa mambo aliyotufanyia. Kikwete naye kafanya vizuri pia.
CCM still ipo juu. Hop itashinda kwa kishindo jimbo la Igunga
Dr Slaa lazima uwe unaelewa mazingira ya kisiasa na wakati! Ndio maana umebaki na ushahidi wa Kagoda kwenye mkoba wako hadi msemakweli kaja kutoa ushahidi mwingine! Sasa Mgombea wa Igunga ni JK au Mkapa? Unamlipua JK au Mkapa halafu iweje? Kati ya Mkapa na Jk nani Mgombea wa jimbo la Igunga? Acha ushamba wako Dr wa Kiirak elewa mazingira ya kisiasa siku zote!