kilichotokea ni kwamba aliamka asubuhi mzima akanywa chai but baadaye akajisikia vibaya na akampigia dereva wake ampeleke hospital jirani na home. inasemekana aliaga dunia akiwa ktk harakati za matibabu.
Tafadhali liweke vizuri habari hii ni ya kushitua kwa wanamfahamu Rwegasira na mchango wake jumlisha nini kilikuwa kinaendelea kule Reli.
Shahidi wa pili tafadhali na aje anayelijua hili kutujulisha zaidi.
Jamaa alikuwa mpambanaji wa ukweli pale TRL wafanyakazi wote walimuheshimu na kumkubali. Kama ni kweli katutoka basi tumempoteza mtetezi makini wa wanyonge. May his soul rest in peace.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.