BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
RIP Rwegasira mtetezi wa wanyonge ukapumzike kwa amani!.... Ndugu zanguni kusema ukweli napata mashaka sana na kifo cha huyu mpiganaji wa wanyonge kila nikijaribu kutafakari naona kama vile kuna kukolimbwa hapa yaani mtu unaenda mkutanoni kutoa tamko juu ya hatma ya TRL na Serikali then unatutoka ghafla mmmh!
kama kweli ni Mwenyezi Mungu amemchukua kwa mapenzi yake ampumzishe kwa amani ila kama kuna kukolibwa huyo alietenda hayo chamoto atakiona maana machozi ya mnyonge yatamuhukumu hapa hapa duniani!
kama kweli ni Mwenyezi Mungu amemchukua kwa mapenzi yake ampumzishe kwa amani ila kama kuna kukolibwa huyo alietenda hayo chamoto atakiona maana machozi ya mnyonge yatamuhukumu hapa hapa duniani!