unajua aisee bora sikuzaliwa siku hizi, nahisi nisingeyaweza maisha aisee.
to me niliangalia tu ile body cleaness basi, tulipojuana ndipo nikaanza kuangalia mambo ninayoyataka basi. sasa kwan unyunyu si naweza mnunulia niutakao? ama kiatu?
factor hapa niliyoiangalia zaid ni hisia je ana hisia za kweli za kimapenzi zenye upendo ndani yake ama ni za kimapenzi zenye tamaa ya ngono tu? thats why niliolewa na mwanaume ambaye tulilala chini na kuish nyumba ya udongo.
Hapa sasa wewe gfsonwin umeandika kama sie wenzio wa enzi hizo...
Vijana wa sasa hivi wanasumbulia na vitu vidogo hata picha tu zinawapelekesha....
Hii inatufaa sie na akina @FP....
Ila kwa vile ujana ni maji ya moto...wakikua watajua tu kwamba haya mambo mengine ni tempo!!
Babu DC!!
Hapa sasa wewe gfsonwin umeandika kama sie wenzio wa enzi hizo...
Vijana wa sasa hivi wanasumbulia na vitu vidogo hata picha tu zinawapelekesha....
Hii inatufaa sie na akina @FP....
Ila kwa vile ujana ni maji ya moto...wakikua watajua tu kwamba haya mambo mengine ni tempo!!
Babu DC!!
uzuri hawa madesigner wanadesign externalities but internalities hawawez mwl.bwana wee!we acha tu humu kuna madesigner,sijui asiwe na kitambi,na mambo kibaoooo!ila ndo hivo tena!
wee babu, kwani wafikir wanahitaj kufundishwa hawa? watakutambua baadae sana kwamba aspect ni moja tu nayo ni utu wa ndani zaid kuliko wa nje.
niliwah kuambiwa na mama mmoja mtu mzima sana katika stori za k,ijiwen hivi uzuri na usmart wa mwenza unaliwa? jibu nikasema hapana , akauliza tena kitandan anapanda na nguo zake zikiwa zimetoka kwa dobi na viatu vya gharama nikasema hapana ndipo aliponiambia kinachomlala mwanamke ni utu wa ndani wa mwenzi wake basi haya ya nje yote unaweza ukayatengeneza ila ya ndani huwezi.
na nilipochunguza nikagundua kwamba ni kweli manake utu wa ndani wa mwenza ukiwa mkamilifu basi ni dhahiri kwamba utamkubali na utampenda.
Kitu kinachovutia utakijua tu. Ndiyo maana hata watoto wadogo wana likes na dislikes zao. Pamoja na kuangalia mambo ya nje, muhimu ni kuwa na package yako ya ndani ambayo huwezi ku-compromise hata ukiwa mbele ya AK47!Unalosema ni kweli, ila mtu ndo mmekutana ghafla bin vuuu kwenye haice, sasa utu wake utaujua saa ngapi na hapo unatakiwa utoe namba au uibane.! Kuna aspects za kwanza kabisa kabla mtu hajafunua kinywa unajua namba natoa au piga ua namba sitoi.
bwana wee!we acha tu humu kuna madesigner,sijui asiwe na kitambi,na mambo kibaoooo!ila ndo hivo tena!
Kitu kinachovutia utakijua tu. Ndiyo maana hata watoto wadogo wana likes na dislikes zao. Pamoja na kuangalia mambo ya nje, muhimu ni kuwa na package yako ya ndani ambayo huwezi ku-compromise hata ukiwa mbele ya AK47!
Hii ni lugha yetu wenyewe da gfsonwin. Wengine hawawezi kutuelewa.wee babu, kwani wafikir wanahitaj kufundishwa hawa? watakutambua baadae sana kwamba aspect ni moja tu nayo ni utu wa ndani zaid kuliko wa nje.niliwah kuambiwa na mama mmoja mtu mzima sana katika stori za k,ijiwen hivi uzuri na usmart wa mwenza unaliwa? jibu nikasema hapana , akauliza tena kitandan anapanda na nguo zake zikiwa zimetoka kwa dobi na viatu vya gharama nikasema hapana ndipo aliponiambia kinachomlala mwanamke ni utu wa ndani wa mwenzi wake basi haya ya nje yote unaweza ukayatengeneza ila ya ndani huwezi.na nilipochunguza nikagundua kwamba ni kweli manake utu wa ndani wa mwenza ukiwa mkamilifu basi ni dhahiri kwamba utamkubali na utampenda.
Kitu kinachovutia utakijua tu. Ndiyo maana hata watoto wadogo wana likes na dislikes zao. Pamoja na kuangalia mambo ya nje, muhimu ni kuwa na package yako ya ndani ambayo huwezi ku-compromise hata ukiwa mbele ya AK47!
Hehehe, ninyi mwataka sie tulio oa tutafute nyumba ndogo, siyo?
Kama huna dream package basi unaweza kupoteza miaka zaidi ya hiyo 2 & it is a fair pay kwa huo ulofa. Vinginevyo itakuwa ni miaka iliyotendewa haki kwa kuyaponda maraha, ya kule ikulu au ya kufurahia kucheza na sanamu!Hahahaaaaa! Babu wanaume wetu wa kichina hawa fekerooo fekeroooo mwanzo mwisho. Jitu linajiektisha jemaaa, bonge ya gentle man kumbe daznundaz hatari. Kuligundua inakuchukua 2 years. Bora hata kama ulimpendea mvuto itakuwa kuna vitu umenjoy hizo 2 yrs of being a looser. Ila ndo kama ulijali internal waweza kunywa sumu kujua all these 2 yrs you were living a lie.!!!!!!!!!!
babu hebu muulize lara 1 kwamba hajawah kuskia mtu kaolewa ama anatoka na mtu ambaye watu hawakurajia? unafkiri waliangalia nini? internal package matters a lot tena hii mihemko ya vuu haina mpango kwa mtu ambae yuko deterministic, unless kama intention ni ya kufunguliwa wallet kisha kusepa ila kama ni life mate indeed haya yote alosema ni ubatili
mdogo wangu wa mwisho lara 1 external factors can be created, jamani. kama mwenza hajui kuvaa unawea kumvesha akatoka bomba, kama hana madini unaweza kumvesha ila kama hana upendo wa kweli huwez kuutengeneza kubali.Mimi bado nabisha!!!! INTERNAL PACKAGE LAZIMA IWE DIRECT PROPOTIONAL TO EXTERNAL PACKAGE!!!!!!!!! LAZIMA!!! Hata internal iwe vipi, kama external ni nehi nehi, aah wapi! Tendo la ndoa lazima liwe na hisia na mvuto, hisia na mvuto = external package!!! Vinginevo mtu ana mume bora kabisa duniani ila ndo full kutoka nje kutafuta mridhisho (external package)