Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,063
Ni nacho jua wengi tuna danganywa na macho ndio maana watu wana kutana siku mbili baada ya mwezi ndoa, mwisho wa siku ni vilio.
Ukimuuliza" utasikia lakini unge muona alivyo kuwa ana vutia usinge dhani kama ange fanya haya" haya yote yana letwa na kuangalia nyuso ndio maana ndio za sikuhizi ni vilio tu kila hiitwapo leo.
Mimi naamini sana kwenye swala la tabia njema na ndicho kipaumbele changu cha kwanza na ninaamini mtu ataficha vyote lakini tabia haina dawa utaijua tu.
Kuna mtu ata ukikutana nae siku ya kwanza unaweza ukafanya investigation na kujua ni mtu wa aina gani japo kwa ufupi.
Haya mambo ya kuangalia sura nzuri au umbo yanaendelea kuwaliza wengi kila leo.
Ukimuuliza" utasikia lakini unge muona alivyo kuwa ana vutia usinge dhani kama ange fanya haya" haya yote yana letwa na kuangalia nyuso ndio maana ndio za sikuhizi ni vilio tu kila hiitwapo leo.
Mimi naamini sana kwenye swala la tabia njema na ndicho kipaumbele changu cha kwanza na ninaamini mtu ataficha vyote lakini tabia haina dawa utaijua tu.
Kuna mtu ata ukikutana nae siku ya kwanza unaweza ukafanya investigation na kujua ni mtu wa aina gani japo kwa ufupi.
Haya mambo ya kuangalia sura nzuri au umbo yanaendelea kuwaliza wengi kila leo.