Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.
Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.
Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?
Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.
Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.
Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?
Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.
Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.