Spika sio msemaji wa serikali. Kuhusu suala la mahindi spika Tulia acha kumsemea waziri Bashe na serikali, sio kazi yako!

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,903
18,670
Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.

Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.

Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?

Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.

Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
 
Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.

Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.

Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?

Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Tulia hajui au hauwezi hiyo kazi.

Yupo pale kwa kazi maalumu.
 
Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.

Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.

Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?

Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Hawajui hata limit ya majukum yao., usishangae kesho akazungumzia hata mambo ya afya , ni hovyo hovyo tu ilimradi liende.
 
7196f4957d43edfb8c0babd9654fcdf0.jpg
 
Ccm Lao Moja Tu Hata Bandari Kwenda DP World Waliungana Wote
Leo Wanafarakana Hadharani Kuna Wanaosema Wamehongwa Nyumba, Wengine Mtonyo, Wengine Walikwenda Dubai Kuzurura Sijui Cha Kufanya (Kubung'aa) Tu
Ccm Jamani
Oya kuna mambo ni ya wahuni wao tuu hayakihusishi chama changu
 
Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.

Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.

Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?

Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.

Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Watanganyika jifunzeni kwa wenzenu wa visiwani .

Nafasi muhimu za kitaifa epukeni kuwapa lip stick .

Mtakuja kunikumbuka.
 
Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.

Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.

Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?

Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.

Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Huyu hapa!
tulia.ackson_20230624_4.jpg
 
Back
Top Bottom