johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,033
Nichukue fursa hii kuwapongeza Spika Tulia na Mawaziri Mchengerwa na Bashe kwa kuutendea Haki Mjadala wa Taarifa za Kamati za Bunge kuhusu Ripoti ya CAG.
Niwe mkweli Mawaziri wagalatia walijikita kutetea wezi serikalini.
Kadhalika Halima Mdee Mungu wa mbinguni akubariki
Mlale Unono ๐๐
Kwako FaizaFoxy ๐๐๐๐ผ
Ufafanuzi kama nilivyoombwa:
Spika Dr Tulia PhD tofauti na vikao vingine leo ametoa muda wa kutosha kwa Wabunge wote kuchambua Ripoti ya CAG na wala hakuwakatizakatiza au kuwapa lecture kama wako Darasani. Pili hakuwabeba Mawaziri waliokuwa wanawalinda wezi kwenye wizara zao kwa namna walivyokuwa wanachangia hoja
Waziri Bashe amekiri ni kweli kuna matatizo ya Ufisadi Wizarani Kwake na wanayafanyia Kazi. Bashe amemkabidhi Spika Tulia orodha ya Wabunge na Mawaziri wanaodaiwa Fedha za Pembejeo na kumuomba Spika awakate madeni hayo kwenye Fedha za mafao kwani madeni hayo ni Sugu
Waziri Mchengerwa amekiri ni kweli kwenye halmashauri kuna Wizi na Ufisadi wa kutisha na ameapa kuwashughulikia ipasavyo Mafisadi hao. Mchengerwa amesema tangu Ripoti ya CAG itoke mwezi March tayari kuna wezi serikalini wameshafukuzwa Kazi na kuburuzwa Mahakamani
Mchengerwa ametaka idadi ya watumishi waliochukuliwa hatua za Kisheria wakiwemo Wakurugenzi, Wahasibu, Maboharia, Waganga wa Wilaya na Waganga wa Mikoa
Mawaziri wengine Kazi yao ilikuwa kujitetea tu Wao na Watendaji wao.
Bure kabisa!
Niwe mkweli Mawaziri wagalatia walijikita kutetea wezi serikalini.
Kadhalika Halima Mdee Mungu wa mbinguni akubariki
Mlale Unono ๐๐
Kwako FaizaFoxy ๐๐๐๐ผ
Ufafanuzi kama nilivyoombwa:
Spika Dr Tulia PhD tofauti na vikao vingine leo ametoa muda wa kutosha kwa Wabunge wote kuchambua Ripoti ya CAG na wala hakuwakatizakatiza au kuwapa lecture kama wako Darasani. Pili hakuwabeba Mawaziri waliokuwa wanawalinda wezi kwenye wizara zao kwa namna walivyokuwa wanachangia hoja
Waziri Bashe amekiri ni kweli kuna matatizo ya Ufisadi Wizarani Kwake na wanayafanyia Kazi. Bashe amemkabidhi Spika Tulia orodha ya Wabunge na Mawaziri wanaodaiwa Fedha za Pembejeo na kumuomba Spika awakate madeni hayo kwenye Fedha za mafao kwani madeni hayo ni Sugu
Waziri Mchengerwa amekiri ni kweli kwenye halmashauri kuna Wizi na Ufisadi wa kutisha na ameapa kuwashughulikia ipasavyo Mafisadi hao. Mchengerwa amesema tangu Ripoti ya CAG itoke mwezi March tayari kuna wezi serikalini wameshafukuzwa Kazi na kuburuzwa Mahakamani
Mchengerwa ametaka idadi ya watumishi waliochukuliwa hatua za Kisheria wakiwemo Wakurugenzi, Wahasibu, Maboharia, Waganga wa Wilaya na Waganga wa Mikoa
Mawaziri wengine Kazi yao ilikuwa kujitetea tu Wao na Watendaji wao.
Bure kabisa!