Mh ! Spika tunaye
Lazima aseme hivyo kutokana na ukweli kuwa tatizo hili limekuwa likijitokeza mara kwa mara hivyo nahisi ameona ni jambo la kawaida !!!! Nadhani huyu mama anahitaji maombi ili mungu ampe hekima maana kazi/nafasi aliyonayo inahitaji hekima na busara za hali ya juu vinginevyo atakuwa anatoa matamshi/maamuzi ambayo hayaeleweki kwa jamii.