Spika: Milipuko ya mabomu Gongo la Mboto sio jambo la dharura!

jamani kwa sababu za kiusalama si sahihi kujadili hili suala bungeni,kuna siri zaweza wekwa wazi wakati wa kujibu ambazo hazipaswi kuwa wazi,si kila kitu kinajadiliwa ovyo nyie watu,lazima wafanye uchunguzi na waweke mambo sawa kwanza(hata kama lilipangwa kuna namna ya kuwasilisha jambo kwa umma na international community inachukua muda).....heeeeeee,kuna haja ya watu kusoma somo la Usalama wa nchi......yaani hamna tofauti na Kikwete ambaye jana karopoka kuwa lile lilikuwa hiyo kati ya maghala makubwa,kwa usalama wa nchi ile si sahihi na hata wakuu wameshamwambia amechemka,leo mnataka lijadiliwe bungeni???mnafikiri nyie zaidi ya ushabiki wa vyama na chuki kwa huyu mama???
Hii nchi imeishanichosha sijui tumelogwa
 
Hii nchi imeishanichosha sijui tumelogwa

Hamna kulogwa kaka,labda tumelogwa na hawa viongozi wetu,mi naamini ni Mungu anatupitisha kugumu ili tuzidi pata akili na uchungu wa kuwaondoa baadhi ya watu madarani,aiseee inaudhi,juzi watu ishirini na.... wamekufa kula vyakula vibovu vya bakery,hatujatulia mabomu yanalipuka kwa mara nyingine na kuua,sijui kinachofuata.......!!!!
 
Umejuaje hana mtu wa kumshughulikia ?

Akili zake hazijatulia inaelekea anataka kutafutiwa mtu ali akili zikae sawa, kwani huoni mambo yake anayoyafanya bungeni ya kupayuka bila ya kutumia busara. Inahitajika ifanyike Rescue mission ya kumsaidia huyu mama Makimba aili akili zake zikae sawa:laugh:
 
atizo ni nchi corrupt kama Tanzania,viongozi wake awajari maisa ya rai wake.Spika uyo ana jipya hupo pale kama kibaraka anaendeswa kwa rimoti.MUNGU WAUKUMU VIONGOZI WENYE ROHO KATILI.ameni
 
Ama kupoteza ushahidi wa vifaa feki vipya vilivyoingizwa Septemba 2010 na mafisadi?


Ninaweza kukubaliana nawe,kwani kambi ya G'mboto ina maghala makubwa ya vifaa vya jeshi vya kusambazwa nchi nzima. So this incidence might as well be a planned mission.

Mimi naona wazidi kuniongezea morali na uchungu wa kutaka kuwepo na maandamano ya nchi nzima ya kuung'oa utawala dhalimu wa mkwere na wapambe wake.
 
atizo ni nchi corrupt kama Tanzania,viongozi wake awajari maisa ya rai wake.Spika uyo ana jipya hupo pale kama kibaraka anaendeswa kwa rimoti.MUNGU WAUKUMU VIONGOZI WENYE ROHO KATILI.ameni

Mkuu unaandika ukiwa unakimbia au?! Cheki ulivyomispell words:

atizo?=tatizo?

awajari?=awajali?

maisa?=maisha?

rai?=raia?

ana?=hana?

hupo pale?=yupo pale?

Ni hayo tu mkuu!
 
Ngoja siku bomu lilipuke makutupora na kutua kwenye kiti cha spika ndipo litakapoonekana ni Jambo la kujadiliwa
 
Hii yote ni kwa sababu Watanzania kufa ni jambo la kawaida (life is cheap Tanzania)...huenda Spika amejiuliza nini cha ajabu, ajali za barabarani zinaua makumi kila kukicha...!!!
Sadly in TZ life is cheap...people die with hizi pikipiki, barabarani, eating contaminated food, and so on and so forth and no one flinches

Nasikia muhimbili mtu ukipata ajali ya pikipiki wanakukata mguu! Vyuma vimeisha...

Spika anaona hoja sasa ni kujadili mambo ambayo kwakweli kama hayana proper accountability we r goners!

Niwape pole wakazi wa Gmboto na watanzania woote wenzangu mnaoguswa na maafa,

We should start a new chapter 'govt watch forum' ambayo itaweka perfomance indicators and INSIST public evaluation ( hugely displayed on national papers ) so people's tenure even though they r there for 5yrs are perfomance based,

This is the only way people will get off their ”& and do some work!
 
Waliojeruhiwa na kufa ni panya tu ndiyo maana hawaoni haja ya kulijadili....na garama zilizo sababishwa na ujinga huu Makinda hao.
 
How unfair this is to a woman,
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!
asha kum si matusi!
hivi inakuwaje Spika huyu anatukanwa kwa jinsia yake? asilimia kubwa ya michango 'huyu mama' mbona wanaume waharibifu ambao wengine wanajijua viziri kuwa ni waharibifu katika jamii ambao wengi ni wanaume hawaitwi jamani huyu baba!

Tubadilike jamani! niemekereka sana na hili dah!
 
Back
Top Bottom