samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Spika wa bunge Anne Makinda amesema hajaridhika kwamba suala la milipuko ya mabomu iliyotokea juzi Gongo la Mboto ni la dharura na lina maslahi kwa umma na kwamba halihitaji kujadiliwa kama jambo la dharura.
Spika amesema hayo kufuatia hoja iliyotolewa na mnadhimu wa kambi ya upinzani Tundu Lissu aliyetaka kanuni itenguliwe ili jambo hilo lijadiliwe bungeni.
Spika amesema hayo kufuatia hoja iliyotolewa na mnadhimu wa kambi ya upinzani Tundu Lissu aliyetaka kanuni itenguliwe ili jambo hilo lijadiliwe bungeni.