Msanii naona unamwaga sera cha chama chako - ha ha ha
i miss you suzane
Ufupi wa mambo ni kuwa dkt.Slaa kaisha kabisa.Nikisema hivyo ni katika kila hali hata ya kiafya.
Kutokana na fani yangu naweza kusema kuwa dkt.Slaa ana tatizo la hypertension.Kampeni ziishe akapumzike kabla hajaanguka kwenye majukwaa.
Clouds radio naona wanatangaza juu ya mkutano pia kwa shingo upande!
i miss you suzane
Ss sijajua kampeni zitaanza sa ngapi!! Lkn vyovyote vile lazima niwepo pale, the finest ondoa shaka kuhusu kiwanja, kiwanja ni kikubwa, ufanyefanye kazi zako twende tukamsikilize rais wetu mtarajiwa.
She has Joined Today. Acha usanii.