Mkuu janga hata hizo 5% umempendelea.Anachokionyesha Sitta sasa ndiyo picha lhalisi aliyonayo tangu zamani isipokuwa tuu watu walikuwa hawamjui kiundani.mimi kama mimi, huyu mzee nilimwamini huyu na mzee mwakyembe. Lakini SITTA ameharibu sana KWA SASA MWIGILU YUPO JUU KULIKO SITA. NAMPA 5%
ndo maana hata urambo hawandelei, unafiki tu wa huyo mzee
Msimamo wake bunge la katiba umedhirisha anaweza kuwa msimamizi asiyeyumbishwaNdugu wana jf . Katika ccm Sitta alikuwa mmoja ya watu ambao wangekuwa na influence kubwa iwapo wangepewa Uraisi. Je kwa sasa SITTA unampa marks ngapi kama mtu mwenye masilahi kwa wananchi iwapo taweza kueuliwa na chama chake uwania Uraisi?
Huyu mzee toka ajenge ofisi ya ya bilioni 3 urambo kwa ajili ya spika nilimdharau sana..mbaya zaidi pale alipochanganya na kutumia gari la serikali kuvuta bowser la maji kupeleka kwa hawara kinondoni mkwajuni..nikajua kabisa huyu mzee ni pimbi sana
Mainaz(-) inaruhusiwa kuitumia?Ndugu wana jf . Katika ccm Sitta alikuwa mmoja ya watu ambao wangekuwa na influence kubwa iwapo wangepewa Uraisi. Je kwa sasa SITTA unampa marks ngapi kama mtu mwenye masilahi kwa wananchi iwapo taweza kueuliwa na chama chake uwania Uraisi?
Mimi binafsi na watanzania wengi ninaowasikia wanasema prof. Anna tibaijuka ndie chaguo pekee la watanzania 2015 katika urais 2015. Watanzania wanaitaj rais msomi zaid na mwenyeuzoefu mkubwa wa kimataifaNdugu wana JF.
Katika CCM Sitta alikuwa mmoja ya watu ambao wangekuwa na influence kubwa iwapo angepewa Urais.
Je kwa sasa Sitta unampa marks ngapi kama mtu mwenye
masilahi kwa wananchi iwapo ataweza kueuliwa na chama chake uwania Urais?