majjita 01
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 232
- 82
ngoja atumike kama kondomu tu na nafasi ya kugombea ndani ya chama cha magamba hapati. labda arudi kwenye chama chake cha CCJ
Huyu jamaa hafai kabisa mkimpa urais hatafanya cha maana zaidi ya kulipiza kisasi huyu muogopeni kuliko ukoma, yaani anataka kupata kura kwa kujipendekeza kwa wajumbe wa ccm kwa kutengeneza katiba ya wanasiasa huku akiwasaliti wananchi ambao ndiyo wapiga kura! Huyu siyo mtu, ana uchu wa madaraka ili alipize kisasi wale waliomuenguaga uspika, wananchi hana habari nao, eti alisema vyombo vya habari vishughulikiwe, hatufai huyu mtu.Mzee wa viwango yamempata kama yaliyompata Ekerege aliyekuwa mkurugenzi wa viwango TBS.
Angalia jinsi anavyoliburuza bunge maalum la katiba.
Kwanza ameruhusu rasimu ya CCM kuingizwa kwenye bunge analoliongoza yeye na kutupilia mbali rasimu ya Warioba ambayo ndiyo rasimu ya wananchi-huu ni ujambazi Mkubwa Wa Kisiasa dhidi ya demokrasia.
Pili ameongoza ukiukwaji Mkubwa Wa demokrasia wa kutojali maoni ya wajumbe wa kutoka vyama vya upinzani wakiwakilisha maoni ya watanzania wengi wenye maoni tofauti Na Chama tawala hata kama hawa wajumbe ki-idadi ni wachache.
Tatu ni wazi kwamba huu mchakato wa kupata katiba mpya hauwezi kukamilika kabla ya 2015 hata Kama bunge hilo lisipoahirishwa Na kuendeshwa usiku na mcchana. Kwa ubinafsi wake ili apate milioni zake 150, analiburuza bunge la katiba bila kujali kuteketea kwa pesa zetu za kodi.-
Mwisho kana kwamba hayo hayatoshi, sasa anataka wajumbe wapige kura hata kama wako hija au wamelazwa hospitalini! Maajabu ya musa.
Kwa hayo tu niliyoyataja Hapo juu yanamfanya bwana Sitta akose kabisa sifa za kugombea urais.
NB: Niliwahi kufikiria 2015 Sitta angeweza kuwa mgombea mwenye unafuu ndani ya CCM lakini kwa huu utapeli wa Kisiasa hafai kabisa kuwa rais, pamoja na mambo yake ya kigeugeu.
ni kweli mkuu wote wezi na mafisadi wakubwandani ya ccm hakuna wa kumwamini .
ndani ya ccm hakuna wa kumwamini .
Aiseee....Huyu ni wa kuuwa TU.