Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
kwani hiyo nayo pumba mkuu? Hebu itizame kwa jicho la ki-lus.inde afu uniambie umeona nini. Just take a closer look...
Kilusinde hilo ni neno la kawaida ila kijamii hilo ni bonge la dude
kwani hiyo nayo pumba mkuu? Hebu itizame kwa jicho la ki-lus.inde afu uniambie umeona nini. Just take a closer look...
Yaani wewe Mamndenyi umeniandama na likes tokea siku nyingi. Haya ngoja nikugongee moja ili ufurahi.
Swaiba umenivunja mbavu ujue!!...idadi ya 'likes' nilizotoa zilingane na nilizopewa. Haiwezekani mimi niwe wa kutoa kila siku tu, halafu nyie hamnipi. Hebu chungulia mwenyewe hapo kwenye profile yangu.
...manina!
View Profile: Mphamvu - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
...idadi ya 'likes' nilizotoa zilingane na nilizopewa. Haiwezekani mimi niwe wa kutoa kila siku tu, halafu nyie hamnipi. Hebu chungulia mwenyewe hapo kwenye profile yangu.
...manina!
View Profile: Mphamvu - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Matarajio yashafikiwa...
Topic closed!
niliwahi kugusia masuala ya familia humu ndani. Watu wakakana tena kwa herufi kubwa, mimi ni mnufaika wa hako kafamilia. Kama umechunguza kuna tabia ya kupotezea topic kisa tu aliyepost si maarufu, inaniuma sana. Hata likes nazo zina-flow kwa trend iyo hiyo!