Jimmy Santadio
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 466
- 133
Safi sana, wazo zuri. Sasa wakorofi kinachofuata ni kwamba mtapigwa tuu. Nami nasema Pinda awapige tuu. Maana tumechoka sasa.
Hahaha hahaha hahaha hahahaSafi sana, wazo zuri. Sasa wakorofi kinachofuata ni kwamba mtapigwa tuu. Nami nasema Pinda awapige tuu. Maana tumechoka sasa.
Kutokana na sifa alizo nazo anafaa kuwa Rais wa Tanzania mwakani. Moja ya sifa alizo nazo ni pamoja na kuwa kiongozi ambae Hana kashfa yoyote ndani ya serikali,ni kiongozi mchapa kazi, msikivu,Anae tanguliza maslahi ya Taifa Mbele na sio mbinafsi ni moja ya viongozi wachache wazalendo wa kweli waliobakia nchini. Mungu naomba umuoteshe kama alivyowahi kutamka mwenyewe ili awe mmoja wa wagombea ambae ataipeperusha bendera ya CCM mwakani
Kulialia siyo sifa ya kiongozi
Huyo pm amshukuru Zito alimbeba la sivyo angekuwa analima sasa hv