bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
vipi FL1......umeniita.....tucheat au tusicheat? LOL
Janga......................
vipi FL1......umeniita.....tucheat au tusicheat? LOL
Ndio maana yake kiongozi. Soma katikati ya mistari hapo then pitia posts zako halafu ukonekti dots.
hehehehe!halafu nina mkakati wa chinichini wa kubadilisha aidii maanake mshiki ni kama ana dalili za kunimonitaSawa kabisa.
Ila atakayethibitisha kuwa mshiki ha-cheat ni mshiki mwenyewe. Geoff hawezi kututhibitishia kuwa mshiki ni mwaminifu kwa 100%. Mshikiz pia hawezi kuthibitisha Geoff si mwaminifu, ila makamanda wapiganaji tunaweza kuthibitisha biyond rizonabo daut:drum::drum::drum:
hapa nadhani kama ni SHUZI basi limepata mjambajicarmel............
Duh...MJ bana sasa apo wewe wa moto au wabaridi? mbona naona kuna ujumbe hatarishi pia umeutuma na unaulizia matokeo? carmel si nke wa ntu? LOL
Pamoja kamanda. Hommie alitaka kujua hako kaPM kama kalikuwa kana mazingira na vimelea vya cheating LOL........Ilikuwa kuchangamsha jamvi kama kawaida yetu, otherwise thread ingeshasimama hii, na siku isingefika muda huu tukiwa tuna tabasamu.Sijapitisha kampeni ya aina yoyote hapa ni JF mpwa Kaizer na Chripin; msg zangu kwa wapwa nikuwa niwe kwenye groups zao as friends na hata wewe nimekupa! Ikiwa nimeweza kusoma nyuma ya mistari :confused2:
Pamoja kamanda. Hommie alitaka kujua hako kaPM kama kalikuwa kana mazingira na vimelea vya cheating LOL........Ilikuwa kuchangamsha jamvi kama kawaida yetu, otherwise thread ingeshasimama hii, na siku isingefika muda huu tukiwa tuna tabasamu.
Sasa turudi kwenye mada INFIDELITY is THERE TO STAY, hilo mpaka sasa hakuna aliyelithibitisha otherwise!!!
Pamoja kamanda. Hommie alitaka kujua hako kaPM kama kalikuwa kana mazingira na vimelea vya cheating LOL........Ilikuwa kuchangamsha jamvi kama kawaida yetu, otherwise thread ingeshasimama hii, na siku isingefika muda huu tukiwa tuna tabasamu.
Sasa turudi kwenye mada INFIDELITY is THERE TO STAY, hilo mpaka sasa hakuna aliyelithibitisha otherwise!!!
Hujaamua tu. Ukiataka utaniweza. Au ndio itakuwa cheating tayari? LOL Hii infidelity ya Carmel mbona itatunyima vingi?hahahaha Chripin sikuwezi wewe ...
No it is NOT my Broda! We must CHANGE our ways for the SAKE of our GRAND KIDS!
Clap Clap Clap!!!!U R the MAN of honor MJ...Yes u r ... remember history is made by those who break the rules...(clap ur hands for MJ bredahs and sistazzzz)
Infidelity is relative, tuache uzungu, tutukuze Uafrika, Mume mmoja, mke mmoja ni uzungu. Waafrika mume mmoja wake wengi, ndio maana wengi wana mke mmoja kutimizwa matakwa ya kizungu na dini zao, halafu wana vimada kadhaa.
Inapotokea kwa mke kwenda nje, hiyo ni issue nyingine kabisa ila the bottom line ni aliyenaye ama anashindwa kumtimizia, hivyo anatoka nje ili kupunguza nakisi, ama anashindwa kumtosheleza, hivyo anatoka nje ili atosheke.
Issue sio kuhalalisha, bali society inakuwa too open.
U R the MAN of honor MJ...Yes u r ... remember history is made by those who break the rules...(clap ur hands for MJ bredahs and sistazzzz)
Clap Clap Clap!!!!
Na mimi pia munipigie wajameni........
Nipigie kwanza afu akikuja akakataa kutoa kibali, unanitwanga makonde kadhaa....Thank you kwa kumpigia makofi MJ
Ila mimi sikupigii makofi mpaka dada yako bht akubali kama unastahili claps
Katika thread hii nadhani tunatakiwa kuanza misimamo. Kuna watu wanaelezea kama vile ku cheat ni kila mtu anacheat au ni lazima within ten years of marriage u cheat angalau mara moja. Ku-cheat siyo fashion wala lazima, ni kukosa kiwango cha hali ya juu ya self control, hata kama wanaume allegedly wana vi-genes vya kama vijogoo au mbwa (kama inavyosemekana humu ndani na kwingineko). Msihalalishe ubazazi wenu na statistics, na kulaumu spouses wenu. Hivi kama mnashindwa kuji-control (wanaume na wanawake) imagine umefika jela miaka miwili kama Liyumba, kule unafanyaje????? Watu mnakaa mnaweka mazingira ya ku-cheat ofisini, bar, nyumbani (mashemeji, hausigeli) halafu mnasema cheating ni kawaida? Shame on you guys. Who makes the statistics? Si wewe na mimi? Kwa hiyo mnaendelea ku-cheat kuendelea kuweka rekodi ya kuhalalisha udhaifu wenu? C'mon...
Mimi nakiri kuwa SI-CHEAT!! Na nina miaka kibao ya ndoa. Vishawishi vya ku cheat ni vingi, ila si-cheat. Chrispin na wengine wamesema wanacheat. Ambao hawa cheat kama mimi wajitokeze please!!! Lets make a difference and tell a different story, hiyo inayoitwa ya kusadikika. Tukaneni, mkebehi mtajua wenyewe, habari ndiyo hiyo
...Mume mmoja, mke mmoja ni uzungu. Waafrika mume mmoja wake wengi, ...
The Following 3 Users Say Thank You to Pasco For This Useful Post:
hahahhhha ooow my Gosh... Chrispo u r priceless .... ila mie nataka nianze na makonde akikubali kutoa kibali ndio ntakupigia makofi....Nipigie kwanza afu akikuja akakataa kutoa kibali, unanitwanga makonde kadhaa....
Your request has been denied by the management of Chrispin and his Body Co.Ltdhahahhhha ooow my Gosh... Chrispo u r priceless .... ila mie nataka nianze na makonde akikubali kutoa kibali ndio ntakupigia makofi....