Caren
JF-Expert Member
- Feb 12, 2010
- 278
- 91
Carmel ninaungana nawe kuwa watu wamezoea kuogelea katika dimbwi la tope basi wanaona haina haja kwao kuwa wasafi siku moja! Ni mtazamo hatarishi kwa kuwa ndio huo tutakorithisha wanetu tusiposimama kukemea! Usichoke; Kemea uovu popote pale! it is your responsibility.
NB nimetuma ujumbe kwako hukuupata?
Lakini kwa wale waliozitazama takwimu nilizozitoa kutoka jamii ya wamarekani (ambao sidhani kama kuna ubishi ndio jamii modeli kwa wanadunia wote na sote tunaiga wao) utaona kuwa generally waasi ndoa (cheaters) ni minority na wala sio majority. Why are treating the minority with special interest?
I thought Carmel when raising her first issue thought (and rightly thought) it was possible for this minority group to be reformed and put back into the righteous group but akasahau kuwa in a Capitalist society its the minority which has the power and convinction to rule the majority. So mama Carmel just know in this argument you will lose because you are dealing with a minority group that is very stroooong and wont accept good reasoning even if they see one.
So i assure you there are pure people (about 80%) who dont cheat and so preaching to them will surely change them.