Mtoto wa marehemu jeremiah solomon sumary amechukua fomu ya ugombea ubunge kwa tiketi ya ccm . Kuna uwezakano mkubwa akapitishwa kuwa mgombea wa ccm kupambana na upinzani .
Mtoto wa sumari amechukua form kwaajili ya kinyanganyiro arumemu.
by:RADIO FIVE
hii ina kuexpose namna ulivo tabula rasa hoja iliyo mbele yetu ni Arumeru na uteuzi wa mgombea kupitia ccm ya Mtei na Mbowe yanatoka wapi?? kwanza Mtei aliacha uenyekiti kwa Mzee Bob Makani na sio kwa mbowe na kama Mbowe ni mkwe wake ana uwezo, hata huyo mtoto wa sumari bado ana haki kikatiba kuchaguliwa pointi anaweza?? au njia ya kupata uteuzi itakuwa halali na haitatoa upendeleo hapo ndio pa kujadili..mtei amrithisha mkwe wake mbowe uenyekiti wa chama
Chunga sana ndogo wangu Wameru hawakawii kunyanyua mapanga, hata hivyo tunawatakia mafanikio!!!! CHADEMA HURAAAA!!!mamndenyi hilo ndo neno,tupo jimboni huku mwaka huu patachimbika
Si yupo yule kijana Joshua Naari ambaye nimeona hapa thread moja ikisema wameisha jipanga kumsaport!!! Usihofu mkuu zote hizi ni propoganda za wenzetu CCM kwani huwajui?????Wanajaribu kuwapaka rangi watu wao!!!UTAWALA WA KIFALME!
Hata kama taratibu za kisheria zote zimefuatwa, na fomu zimetolewa, ni ****** sana kumchagua mtoto anayetokea familia hizi kuongoza tena!...Wameru watakuwa wamerogwa na nani hawa?...Hakuna Vijana wengine wasomi Meru, wanaoumizwa na utawala wa Kifalme?
Kasheshe ni wakati wa kuhesabu kura, ndipo wanapotaka kutumia ubabe, kama unakumbuka mbinu za EL Arusha mjini!!!!! Wana Arumeru wanatakiwa kujipanga ili kura zisiibiwe kuwe na matokeo ya haki!!!!Tanzania ina rasilimali watu wengi sana wenye uwezo wa kuongoza jimbo hilo. Na hao watoto wa vigogo ni sehemu ya rasilimali hiyo. Lakini hatuwezi kuchagua mtu asiye na sifa tunazozihitaji eti kwa kuwa tu "NI MTOTO WA KIGOGO" na hatuwezi kuacha kumchagua mtu mwenye sifa zoote tunazozihitaji eti kwa sababu "NI MTOTO WA KIGOGO".
Cha msingi ni kuwepo kwa uwanja tambarare wa mapambano kwa watu wote, na tume iheshimu maamuzi ya watu wa Arumeru. Mimi sina Tatizo na watoto wa vigogo wanaojikongoja wenyewe, tatizo ni wale wanaotegemea nafasi za kubebwabebwa
Mara ngapi maamuzi ya kura za maoni yalibatilishwa?? Kiukweli hako ka chama kana wenyewe hakuna cha kura kuamua kama unavyotaka kutusadikisha hapa..Kila mtu ana haki ya kuchukua fomu.
Kura za maoni ndio zitaamua mshindi,sio kama nyie kamati kuu 'ikipima'
OTIS
Huo ni mtazamo wangu tu, kwani nadhani katika mazingira ya sasa, CCM inajaribu kuepuka mchakato wa kura za maoni katika chaguzi ndogo kwani kura za maoni kwa kawaida zinaambatana na gharama na vurugu nyingi zisizo za lazima.
Nyie kina mwaJ.
OTIS