dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,402
- 15,982
Kuna kipindi fulni Hayati Lowassa alizushiwa kuwa siyo mmasai Wala nini. Ni mtu kutoka kabila la Wameru wanaopatika Arumeru Magharib yaani huko, USA, tengeru, Maji ya Chai, Ndoombo, Katiti, Bangata, Kwa pole, Shangarai, Denishi, Valeska na Kingori ndiko unasaba wa Lowassa unatokeaa. Ya Kwamba wazazi wake walihamia Monduli kutafuta malisho ya mifugo Yao kufatia ukame na migogoro ya ardhi ktk maeneo hayo niliyoyataja
Hata hvyo binti ake dada Pamela ameolewa na kijana wa aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha marehemu Jeremiah Sumari kijana aitwae Sioi Sumari ambae pia alipata kuwa mwanasheria na afisa wa bank ya standard chartered hivyo mzee akaozesha kwa kabila lake binti yake
Kijana huo aliingia mgogoro na jiwe ndipo jiwe akawatupa gerezani yeye na aliyewahi kuwa commissioner wa TRA ndugu Harry Kitilya ktk kesi ya uhujumu uchumi na kujipatia pesa au kuchota kupitia kampuni yao ya enterprises growth marketing system
Anyway baada ya Hayati Lowassa kuibiwa kura zake na kina jiwe na chama chake sijawai Wala sitokaa tena kwenda kupiga foleni kuchaguwa viongozi hata awe mwanangu sitoshiriki uchaguzi wowote nilikata tamaa na nimekata tamaaa
Lowassa alikuwa ndio icone ya Kasikazini na hatatokeaa tena jeembe kama yeye ktk ukanda huo ambako kwa Sasa umepoteza ushawishi wa kisiasa.
Hata hvyo binti ake dada Pamela ameolewa na kijana wa aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha marehemu Jeremiah Sumari kijana aitwae Sioi Sumari ambae pia alipata kuwa mwanasheria na afisa wa bank ya standard chartered hivyo mzee akaozesha kwa kabila lake binti yake
Kijana huo aliingia mgogoro na jiwe ndipo jiwe akawatupa gerezani yeye na aliyewahi kuwa commissioner wa TRA ndugu Harry Kitilya ktk kesi ya uhujumu uchumi na kujipatia pesa au kuchota kupitia kampuni yao ya enterprises growth marketing system
Anyway baada ya Hayati Lowassa kuibiwa kura zake na kina jiwe na chama chake sijawai Wala sitokaa tena kwenda kupiga foleni kuchaguwa viongozi hata awe mwanangu sitoshiriki uchaguzi wowote nilikata tamaa na nimekata tamaaa
Lowassa alikuwa ndio icone ya Kasikazini na hatatokeaa tena jeembe kama yeye ktk ukanda huo ambako kwa Sasa umepoteza ushawishi wa kisiasa.