ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,113
- 49,828
Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Pia soma; CCM yateua Wagombea katika ngazi ya Mkoa na Wilaya. Baba wa Sabaya (aliyekuwa DC Hai), ateuliwa kugombea Arusha
---
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Pia soma; CCM yateua Wagombea katika ngazi ya Mkoa na Wilaya. Baba wa Sabaya (aliyekuwa DC Hai), ateuliwa kugombea Arusha