Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 3,971
- 4,479
Jamani eeh mimi nawawekea Simulizi kadri ninavyoipata, so kuingilia thead ni kuvurugiana utaratibu
Naomba mlioanzisha thread juu ya thread mziondoe tafadhali, la sivyo nitafuta thread yote
Natoa muda mchache post zisizo na utaratibu ziwe zimefutwa
Hapana usifanye hivyo Babu wa Kambo maana unatupunguzia stress