Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
We vp, unachukia mtu huna hata sababu!? Na hicho unachotamani! Mh! Katest ur brain...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.