Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Unaweza kuwa umesoma lakini ujaelimika..
Msomi hawezi kuandika mataputapu kama haya...
we kichenchede, mataputapu ndo nini!!
Kazi za corner bar hizi.
Hovyo kabisa.
Unaweza kuwa umesoma lakini ujaelimika..
Msomi hawezi kuandika mataputapu kama haya...
Safi sana Mkuu. She is my HERO. VIVA FF. VIVA JF.
Afu wee siku nikikunyonya macho ndo utajua mie mbeba mabox au mbeba vijiti vya nyama
wifi unanikoshaa hehehe
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
Na wewe unajidai hunipendi lakini kama hunioni unantafuta. Leo hujaniona muda mrefu ukanifungulia nyuzi. Nakupenda.
Jizee la umri wa dhahabu,
Huna hadhi wala adabu,
Unamaneno machafu kuliko babu,
Umenikiumbusha:
Kulikuwa kuna "komedi" show ya TV zamani nilipokuwa nje ya TZ. Inaitwa "non stop nonsense" inaudhi watu hakuna aipendae lakini ikifika time yake kila mtu anaifatilia.
Na wewe unajidai hunipendi lakini kama hunioni unantafuta. Leo hujaniona muda mrefu ukanifungulia nyuzi. Nakupenda.
nyie watu, ni vitu gani tena hivi,
mbona yanakuwa hivi tena,
kwani wataka nini kwa FF jamani.
Wewe unaonekana hata wazazi wako uwapendi kama unavyompenda Mkeo...huwezi kuzuia mvua.
FaizaFoxy, hanakuzidi kila kitu unachomzidi ni kimoja tu Ujinga