Mama anajifanya mjuaji sana, lakini bahati mbaya hajui kitu. Sasa yupo kwenye meno pause
tartiiiiiiibu - taratibu
kuzitowa - kuzitoa
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
hahahhhaa duuh watu kwa manenoMsimchukie sana mpk akapata umaarufu. Ni malezi mabaya ndio yanayomfanya awe alivyo. Kwa ninavyofahamu watu wa aina yake, tatizo ni elimu