Nasikia umeolewa na januzaj kabla hajaenda WC
Ndo wanaume wengi wanajidanganya
Mimba ya bahati mbaya (japo hakuna kitu kama hiki) naweza kuielewa ila sio kupanga kwa makusudi
kwani ndoa ni nini? Au unaongelea sherehe?
kwani ndoa ni nini? Au unaongelea sherehe?
Inatokeaga tu wakati wa kuchezacheza mimba ikaingia. Utafanyaje?Mmmmmmmmmmh! Hivi mtu unaanzaje kufanya maamuzi makubwa kama ya kuzaa na mtu kiholela holela!? Mi nina roho ngumu aiseee!