Alafu mwishowe mwanamke anakusaliti
...
...Ndio maana mm nakaa na bastola yangu
bedroom...na ni mlinzi wa mke wangu.....akiniletea za kuleta huwa naiangaliaaa...na yy ananiona....bila
bastola mapenzi hayaendi cku hizo....!!!!
==> ♡♥♥♥♡♡
unaweza ukawa na bastora alafu usiwe na shabaha,,
Kwani anatoa zote mwenyewe si tunachanga!
...
...Ndio maana mm nakaa na bastola yangu
bedroom...na ni mlinzi wa mke wangu.....akiniletea za kuleta huwa naiangaliaaa...na yy ananiona....bila
bastola mapenzi hayaendi cku hizo....!!!!
==> ♡♥♥♥♡♡
Chujio vipi wewe ushatolewa mahari?Hahahaaa...!! sijui kwanini nimejikuta nacheka sana!!