Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,645
Nimekufahamu vizuri na nimejibu swali lako,
Nafikir ulikuwa na kitu kilichopelekea kuuliza swali hilo
we are on the same page ndugu
Nimekufahamu vizuri na nimejibu swali lako,
Nafikir ulikuwa na kitu kilichopelekea kuuliza swali hilo
Hivi jaman ndo kusema kwamba imeshakuwa fasheni au nini.....
Maana katika kila sherehe tano za haruc ninazohudhuria lazima tatu mabibi haruc wanakuwa tayari ni wajawazito.....!!
Inaweza kuwa inasababishwa na nini hii hali?
watake radhi mkuu... wengine ni njia mojawapo ya kuonyesha upendo uliopitiliza lol!!!
Hivi jaman ndo kusema kwamba imeshakuwa fasheni au nini.....
Maana katika kila sherehe tano za haruc ninazohudhuria lazima tatu mabibi haruc wanakuwa tayari ni wajawazito.....!!
Inaweza kuwa inasababishwa na nini hii hali?
huhuhuuuuu asanteeeee muulize kwaio tuwe tunatoa??
hata msifikirie kuhusu hilo... watoto nao wana raha yake hasa wakizaliwa kabla ya ndoa hahhaha
we are on the same page ndugu
wanawake wajinga jinga ndio wanabeba mimba kabla ya kuolewa
Jf sikuhizi ina wajinga wajinga wengi...
watake radhi mkuu... wengine ni njia mojawapo ya kuonyesha upendo uliopitiliza lol!!!
wanao abort je????
Hivi jaman ndo kusema kwamba imeshakuwa fasheni au nini.....
Maana katika kila sherehe tano za haruc ninazohudhuria lazima tatu mabibi haruc wanakuwa tayari ni wajawazito.....!!
Inaweza kuwa inasababishwa na nini hii hali?
Uzinifu ni kukosa maadili mema.