Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Kwa hiyo wewe shemeji ulikuwa unatest mpaka ulipopata anayeshika mimba? Na asingepata ujauzito ungemuacha?Na dada yangu ulimpendea kushika mimba na sio Yeye kama yeye as a Woman?
hheh hapo ZD umeniquote out of context...sijasema eti nilikuwa natest hapa na pale hadi nikamkuta Mrs wangu hapa....
Ninachosema ni kuwa mkiwa wachumba inatokea anashika mimba,,,sasa mnafanyaje? mazingira ya kushika mimba ndo tumeyaongelea na ni kwa nini sasa hivi watu HAWAOGOPI tena kushika mimba wakiwa wachumba kwa maana ya ku clear uncertainties zinazoambatana na kuoana mkijifanya kila mtu ako Okay kumbe kuna tatizo mahali. Na sisemi pia kuwa kama hamuwezi kuzaa msioane lakini hili linampa kila mmoja uwezo wa kuweigh out options mbali mbali akijua what to expect akishaingia kwenye ndoa.
Kumbuka kwa siye wakristo ndoa ni ya mke mmoja TU>