TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,467
- 11,166
1. Hapa ndo wanaume tunadanyanyika..eti nina mimba yako tayari! Unamchukua unafunga nae arusi! Kumbe wapi..mtoto anazaliwa wa jamaa mwingine!!
2. Utajuaje kama mimba demu wako aliyobeba ni yako???
Mkulu mi naona hawa watengenezaji wa mashine zinazopima DNA wangejitahidi kutengeneza ambayo inaweza fanya vipimo hivyo hata wakati mtoto akiwa tumboni.
LOL!