Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
ni udhaifu tu wa wanaume!amani kwenu wana JF..
naomba mchango wenu ktk hii ishu
Imekua ni suala la kawaida kwa wapenzi kufunga ndoa baaba ya bibi harusi kupata ujauzito, sababu kubwa ni eti wana test kama wapo shwari. Hii inamaanisha kwamba, kama mwanamke hawezi kupata ujauzito basi uhusiano woa unakua matatani!,jamani hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? na je huyo mtoto atakayepatika atakuwa ni wa nje ya ndoa au? Kwa mawazo yangu, nadhani watu wanatakiwa kufunga ndoa kwa sababu wanapendana kwa dhati na si vinginevyo!
pamoja!!
HAWAJIAMINI