Siku hizi ndoa hadi mimba, mimba ndo kigezo cha kuoana?

You are entitled to your opinion my dearest!

Uzuri ni kwamba vile vilivohalalishwa havifanywi ila watu wanafanya vile visivohalalishwa!

sheria zimewekwa ili zivunjwe (msemo wa kujifarijia huu...)
 
Guyana walioweka maadili hawakuyaona haya? au watunzi wa vitabu vya dini?


MJ1, mbona unatutia majaribuni lakini:rolleyes:

Maaadili yali/yanawekwa na nani..kama sio sisi? usishangae baada ya muda hayo ndo yakawa 'maadili' kulingana na mtazamo wa jamii

kwa maoni yangu jamii inazidi kulikubali hili suala na sasa hivi halionekani tena kuwa jambo la ajabu. Maana yake ni kwamba the procee of change is taking place, na hizi institutions zitabadilika tu kupitia hiii gradual change.

Vitabu vya dini vipi pia lakini ukumbuke vimeandikwa pia kukiwa na influence ya maadili ya wakati ule. Ndio maana kikanisa huwa kuna mabadiliko yanatokea kwa decree za Pope na viongozi wengine kuendana na mazingira ya wakati huu,,,
 
haha nadhani alikuwa anamaanisha kuwa anajua walikuwa wanamegana, lakini siku ya harusi inajulikana kuwa lazima kuwe na consummation na actually isipokuwepo ndoa inakuwa declared null and void kwa mujibu wa kanisa....sasa hapo alikuwa anamnaga tu kuwa leo kila mtu anajua..which is the reason for all the celebrations~

Ile sentensi wa sisi tuliokuwa tunazingatia somo la Kiswahili O Level, inaangukia kwenye TUNGO TATA....Yaani ina maana zaidi ya mbili au hata tatu! Ndio maana nikauliza swali!

Hebu sema wewe umeielewaje?


hahah hakuna utata hapo..sentensi sim unaiangalia katika muktadha wake au sio.....lol:D
 
Suala sio watoto au mimba ivyo huja kwa bahati mbaya sababu mara nyingi ni unplanned! Mi nijuavyo pamoja kwamba love is not all about sex lakini sex ni kitu muhimu kinachonawirisha na kufanya love iwe strong hasa ukimpata anaekukuna ipasavyo. Sasa mtaoana bila kujua unaemuoa au anaekuoa utamuweza au la?? Si ndo mwanzo wa kukimbia ndoa huo!! Na hapo ndo unplanned mimba inapotokea! Hata ukimpenda mtu vipi kama hakufikishi bwana hata iyo ndoa au relationa itakuwa ili mradi tu hata mambo yote yakiwa ceterius peribus!!

Kutesti ni muhimu sana! Hebu fikiria mjifanye eti hamtaki kutesti, halafu mnafika kwenye ''honeymoon'' unakuta mumeo ka-mtarimbo kake ni kadogo kama bamia, au yuko over-size and endowered kupita kiasi, si utambia ndoa?
 
MJ1, mbona unatutia majaribuni lakini:rolleyes:

Maaadili yali/yanawekwa na nani..kama sio sisi? usishangae baada ya muda hayo ndo yakawa 'maadili' kulingana na mtazamo wa jamii

kwa maoni yangu jamii inazidi kulikubali hili suala na sasa hivi halionekani tena kuwa jambo la ajabu. Maana yake ni kwamba the procee of change is taking place, na hizi institutions zitabadilika tu kupitia hiii gradual change.

Vitabu vya dini vipi pia lakini ukumbuke vimeandikwa pia kukiwa na influence ya maadili ya wakati ule. Ndio maana kikanisa huwa kuna mabadiliko yanatokea kwa decree za Pope na viongozi wengine kuendana na mazingira ya wakati huu,,,

Kwa mwendo huu bado kidoooogo mila( wake 6) zitaruhusiwa kudumishwa Makanisani.Bado kidogo sana,tusubiri tuyaone.
Lakini njia ile ya uzimani imesonga tena ni nyembamba sana.Mabonge hawatapita njia ile.
 
Heeeeh! Hivi kumbe vitabu vya dini ni vya kutungwa na wanadamu kama hadithi za Alfu Lela Ulela? Mimi siku zote nilikuwa nadhani ni maneno toka kwa Muumba...!!! Asante kwa kunifumbua macho. :)

Masaki mimi pia nilikuwa naamini hivyo...........until recently.

Sijui kwa upande wa quran but kwa Bible najua kilichoshuka ni zile amri kumi au ni mimi tu na ufinyu wangu wa mawazo (ningefurahi kama ningesaidiwa katika hili maana naona nazidi kupotoka siku hizi
 
Kutesti ni muhimu sana! Hebu fikiria mjifanye eti hamtaki kutesti, halafu mnafika kwenye ''honeymoon'' unakuta mumeo ka-mtarimbo kake ni kadogo kama bamia, au yuko over-size and endowered kupita kiasi, si utambia ndoa?

Kumbe wenye vibamia hawapaswi kuoa? sikujuaga hili.Basi wakasomee upadre.
 
Masaki mimi pia nilikuwa naamini hivyo...........until recently.

Sijui kwa upande wa quran but kwa Bible najua kilichoshuka ni zile amri kumi au ni mimi tu na ufinyu wangu wa mawazo (ningefurahi kama ningesaidiwa katika hili maana naona nazidi kupotoka siku hizi

MJ1 hii naiona kabisa kwamba inahitaji THREAD inayojitegemea! Maana hata hiyo mnayosema kwamba wakristo haturuhusiwi kuoa mke zaidi ya mmoja kuna watu wanaipinga kwamba haijaandikwa popote!

Naomba wadau wanisaidie katika hili!
 
Sasa ikiwa ni sawa kuingia na vitumbo ni sawa pia kuvaa magauni meupe au ndo maana off white zimeshika hatamu?
 
Kwa mwendo huu bado kidoooogo mila( wake 6) zitaruhusiwa kudumishwa Makanisani.Bado kidogo sana,tusubiri tuyaone.
Lakini njia ile ya uzimani imesonga tena ni nyembamba sana.Mabonge hawatapita njia ile.

hehehe..hapana , kudumisha mila haijaruhusiwa. Lakini pia hawawezi kukataa kufunga ndoa za watu waliokuwa nje ya ndoa na sasa wameamua kumrudia Mungu.

unakumbuka mfano wa Msamaria Mwema? Unakumbuka mfano wa mwana mpotevu? lol

halafu hiyo njia hiyo...watu watashangaa siku hiyo. wanaojiona wenye haki hapa ulimwenguni ndo watakuwa 'mabonge'. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke shemeji! lol
 
Kumbe wenye vibamia hawapaswi kuoa? sikujuaga hili.Basi wakasomee upadre.

Hapana, sina maana hiyo. Maana yangu ni kwamba unatakiwa umjue mwenza wako vizuri kabla ya kuingia kwenye ndoa. Wapo wanawake waopenda vibamia pia. Na wapo wanaopenda ''miguu ya mtoto''.

Halafu, kusomea upadre lazima wakupime na kuhakikisha kwamba ni mwanaume rijali. Hakuna mapadri ambao wana matatizo ya jogoo kutopanda mtungi. Ndiyo sheria!
 
hehehe..hapana , kudumisha mila haijaruhusiwa. Lakini pia hawawezi kukataa kufunga ndoa za watu waliokuwa nje ya ndoa na sasa wameamua kumrudia Mungu.

unakumbuka mfano wa Msamaria Mwema? Unakumbuka mfano wa mwana mpotevu? lol

halafu hiyo njia hiyo...watu watashangaa siku hiyo. wanaojiona wenye haki hapa ulimwenguni ndo watakuwa 'mabonge'. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke shemeji! lol

Pia mkumbushe imeandika, idadi yao hata kama itakuwa kubwa kama mchanga wa baharini, ni watu 144,000 tu ndio wataoingia mbinguni! (Mmmh nahisi tunaanza kwenda off-topic)
 
hehehe..hapana , kudumisha mila haijaruhusiwa. Lakini pia hawawezi kukataa kufunga ndoa za watu waliokuwa nje ya ndoa na sasa wameamua kumrudia Mungu.

unakumbuka mfano wa Msamaria Mwema? Unakumbuka mfano wa mwana mpotevu? lol

halafu hiyo njia hiyo...watu watashangaa siku hiyo. wanaojiona wenye haki hapa ulimwenguni ndo watakuwa 'mabonge'. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke shemeji! lol

Ntakuwa mlangoni na malaika na watakatifu nawapokeeni wadhambi wenzangu mliotubu dhambi zenu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom