Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
mSAADA WENU WADAU NA WENYEUELEWA MKUBWA..NA BEI ZAKE MNIAMBIE HAPA HAPA SIO LONGO LONGO
Zantel 10000 kwa siku tatu spidi ya kasi na mwendo wa ajabu ukiclick ishamaliza kudownload sasatel 3000 kwa wiki spidi ya kobe anakimbia kulog in masaa manne ndo inafunguka inbox then kufungua email ni masaa mawili,airtel wao 30000 kwa miezi sita spidi ya mbuzi
Voda hamna kitu, mi nimejiunga na hiyo ya 30,000 katika siku 5 tangu kujiunga ni sku moja nimeona ikiwa speed (pale tu inapo-display HDSPA kwenye network).voda kwa 30,000 kwa mwezi