Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.
Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?
Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.
Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?
Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app