Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,407
- 3,580
Mambo vipi wadau wa Jf habari za mida hii, naomba mnisaidie kidogo hapa mwenye kujua kidogo kuna simu ilikuwa vizuri tu ila baada ya kuona inagoma goma infinix SMART 7 HD Nika restart,
Imekuja kuwaka imekuja na maneno Your Device Is locked dah! nimejaribu kwenda kwenye Carlcare ili kuifungua nimekutana na vitu hivi natakiwa kuvijaza👇
-ID number
-IMEI photo
-Flight number
-Boarding pass photo
Naomba msaada wenu wadau hasa Chief-Mkwawa nifanyeje🙏
Imekuja kuwaka imekuja na maneno Your Device Is locked dah! nimejaribu kwenda kwenye Carlcare ili kuifungua nimekutana na vitu hivi natakiwa kuvijaza👇
-ID number
- Id card photo
- Invoice number
- invoice photo
-IMEI photo
-Flight number
-Boarding pass photo
Naomba msaada wenu wadau hasa Chief-Mkwawa nifanyeje🙏