Shakazulu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 957
- 280
Jamani tunaelekea wapi waTanzania? Nakumbuka wakati nasoma Kibaha Secondary miaka ya 80 waislamu walikuwa wana sehemu yao maalum ya kuabudu na wapo waliokuwa wakipiga sala 5 bila ya matatizo yoyote. Pia kwa waliopita Tosamaganga watakumbuka kuwa kuna kanisa eneo la shule lakini sikupata kusikia waislamu wakidai nao wajengewe msikiti wao. Walikuwa wakifanya ibada zao kwenye vyumba vya madarasa bila ya matatizo yoyote.
Hao vijana wa Ndanda Secondary wameshindwa kutumia chumba kimoja cha darasa kama sehemu ya kuswalia? Mimi nadhani walitaka kugoma tu so the looked for a reason to do so. What a pity!!!
Hao vijana wa Ndanda Secondary wameshindwa kutumia chumba kimoja cha darasa kama sehemu ya kuswalia? Mimi nadhani walitaka kugoma tu so the looked for a reason to do so. What a pity!!!