Anasubiri nini kuondoka kwenye huo uchokoraa? Ana laana. Amesahau kuwa huo anaouita uchokoraa ndio uliomfadhili alipotimuliwa na CCM? Inaelekea siasa inamuendea kombo, ningemshauri ajaribu biashara nyingine. Haiwezekani kila wakati awe anauota uraisi kwa kiwango anachofanya wakati hajafanya vya kutosha katika ngazi ya ubunge. Angerejea CCM mapema huenda angekumbukwa katika nafasi za u-DC zilizopita. Lakini hajachelewa sana anaweza kupata nafasi nyingine. Kila la heri Shibuda!