Shibuda: "Hakuna chama kama CCM" akitoa Semina elekezi MaRC na MaDC Dodoma

Kweli CCM hakuna mtu! Yaani katika watu woote mmeona Shibuda ndiye mwenye busara za kuwafunda wakuu wenu wa Mikoa na Wilaya! Huyo kwa CDM hana hadhi hata ya kumfunda katibu kata.
 
Jambo moja muhimu la kujiuliza, kwa nini CCM na Serikali yak wamekazana kumwalika Shibuda kwenye makongamano na semina elekezi? Kwa nini hawakumwalika mtu mwingine kutoka Chama Cha upinzini kutoa mada hizo isipokuwa Shibuda? Kuna kila dalili nyuma ya pazia kinachoendelea, na busara ya viongozi wa Chadema kutuliza vichwa na kitakachotokea Shibuda atawakumbuka akina Masumbuko Lamwai, Kaburu, Shitambala na wengineo. CCM ni mabingwa wa kumwaga cho chote pale wanapokuhitaji, wakishafanikisha walichokusudia unatelekezwa.



Nna uhakika huielewe ARPM ni nini, ili kujuza tu, kwa faida yako na ya wengine wasiyoielewa, naomba nikupe darsa dogo, labda utamuelewa Shibuda:



The African Peer Review Mechanism is the brainchild of the African leaders. It is voluntarily acceded to by Member States of the African Union for self-assessment. The primary purpose of the APRM is to enable participating countries to learn and adopt policies, standards and practices of countries with success stories for achieving similar successes in their countries.



H.E Jakaya Mrisho Kikwete Launches the APRM - NGC.

The APRM National Governing Council was launched on 11th sept 2009 by the President of the United Republic o Tanzania.

Soma zaidi: APRM Tanzania
 
]Nna uhakika huielewe ARPM ni nini[/I], ili kujuza tu, kwa faida yako na ya wengine wasiyoielewa, naomba nikupe darsa dogo, labda utamuelewa Shibuda:



The African Peer Review Mechanism is the brainchild of the African leaders. It is voluntarily acceded to by Member States of the African Union for self-assessment. The primary purpose of the APRM is to enable participating countries to learn and adopt policies, standards and practices of countries with success stories for achieving similar successes in their countries.



H.E Jakaya Mrisho Kikwete Launches the APRM - NGC.

The APRM National Governing Council was launched on 11th sept 2009 by the President of the United Republic o Tanzania.

Soma zaidi: APRM Tanzania
Inaonekana wewe ni bingwa wa psychology maana hujamuona mtu lakini tayari unauhakika... hahahaha, hizo ndio staili za magamba bwana... ujuzi kwenye kila kitu na kudharau hata wataalamu wetu.

Sasa kwa taarifa yako usifikiri hapa tupo mabwege kama unavyofikiri.. waweza umbuka ndugu yangu.
 
Nna uhakika huielewe ARPM ni nini, ili kujuza tu, kwa faida yako na ya wengine wasiyoielewa, naomba nikupe darsa dogo, labda utamuelewa Shibuda:



The African Peer Review Mechanism is the brainchild of the African leaders. It is voluntarily acceded to by Member States of the African Union for self-assessment. The primary purpose of the APRM is to enable participating countries to learn and adopt policies, standards and practices of countries with success stories for achieving similar successes in their countries.



H.E Jakaya Mrisho Kikwete Launches the APRM - NGC.

The APRM National Governing Council was launched on 11th sept 2009 by the President of the United Republic o Tanzania.

Soma zaidi: APRM Tanzania

Niamini kwamba Shibuda ni mwepesi na rahisi kununulika. Anafikiria zaidi tumbo kuliko wananchi na wapiga kura wake. Tangu lini Kikwete akachukua mpinzani kuendesha semina elekezi? CCM wamekosa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kuendesha semina hizo mpaka wakazanie wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na katibu wafunzwe na Shibuda?

CCM hawana pa kushika kwani matawi yote yanateleza, kwa sasa kumpata Shibuda kwa njaa yake wameona wamepata pa kupumsisha na kufikiria hilo linaweza kuyumbisha badadailiko kumbe kizazi cha leo, na kiwango cha wananchi wa leo wanaona mchezo waote na wamedharau mchezo huo acha mwepesi aendane nao sisi na mabadiliko haturudi nyuma.
 
Unataka kutwambia CCM hawakuilewa "falsafa ya hali ya juu" ya Shibuda ndiyo maana wakamtema 2010?
No wonder JK na NEC yake sasa wanajifunza kwa Shibuda BRAVO Shibuda!

Wambie ndugu yangu!Sasa sijui mjinga nani hapo?Baada yakuingia CDM ndio anaonekana mtu!Kweli mwenye macho ambiwi tazama!Wananchi wenye uelewa tunaangalia nakusikiliza kwamakini!NDIO MAANA CHAMA KINASHINDA ZAIDI VIJIJINI!Uelewa nishida!
 
Inaonekana wewe ni bingwa wa psychology maana hujamuona mtu lakini tayari unauhakika... hahahaha, hizo ndio staili za magamba bwana... ujuzi kwenye kila kitu na kudharau hata wataalamu wetu.

Sasa kwa taarifa yako usifikiri hapa tupo mabwege kama unavyofikiri.. waweza umbuka ndugu yangu.

Kilichokukwaza na kukufanya mpaka ujione kuwa u mmoja kati ya mabwege ni kipi? nimejaribu kuwapa darsa na mkaisome hiyo taasisi inayomfanya Shibuda aweko huko msipopapenda, Jee, ni kosa?
 
Niamini kwamba Shibuda ni mwepesi na rahisi kununulika. Anafikiria zaidi tumbo kuliko wananchi na wapiga kura wake. Tangu lini Kikwete akachukua mpinzani kuendesha semina elekezi? CCM wamekosa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kuendesha semina hizo mpaka wakazanie wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na katibu wafunzwe na Shibuda?

CCM hawana pa kushika kwani matawi yote yanateleza, kwa sasa kumpata Shibuda kwa njaa yake wameona wamepata pa kupumsisha na kufikiria hilo linaweza kuyumbisha badadailiko kumbe kizazi cha leo, na kiwango cha wananchi wa leo wanaona mchezo waote na wamedharau mchezo huo acha mwepesi aendane nao sisi na mabadiliko haturudi nyuma.

Kisha mchagua Zitto kuendesha kamati inayoundwa na Rais wacha semina elekezi. Humo yumo hata Arfi.

Nyinyi hamjui watu wanaendashaje nchi siku hizi na wanafanyaje maamuzi, siku hizi watu hawakisii, wanafanya kweli, hata maamuzi yanapotoka huna cha kusema wala kulalamika. Nyie bakini viwanja vya Jangwani mkawapoteze zaidi kondoo waliopotea. Ushaona kondoo aliepotea akamchunga kondoo aliepotea? hicho ndio kisa chenu.

Najua utasema Zitto na Arfi ndio kundi moja na Shibuda, au sio?
 
Niamini kwamba Shibuda ni mwepesi na rahisi kununulika. Anafikiria zaidi tumbo kuliko wananchi na wapiga kura wake. Tangu lini Kikwete akachukua mpinzani kuendesha semina elekezi? CCM wamekosa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kuendesha semina hizo mpaka wakazanie wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na katibu wafunzwe na Shibuda?
CCM hawana pa kushika kwani matawi yote yanateleza, kwa sasa kumpata Shibuda kwa njaa yake wameona wamepata pa kupumsisha na kufikiria hilo linaweza kuyumbisha badadailiko kumbe kizazi cha leo, na kiwango cha wananchi wa leo wanaona mchezo waote na wamedharau mchezo huo acha mwepesi aendane nao sisi na mabadiliko haturudi nyuma.

hapo umesema kweli Candid, Kikwete ameshamuona huyo ni boya na bado lina imani ya ukweli kabisa na sisiem. ukitaka kuamini subiri CDM wamtose kama hujaona anapewa ulaji haraka sana na huyo swahiba wake. anamtumia vizuri sana ktk kusaga upinzani wakati yy yupo humo humo ndani ya kambi hiyo. hiyo confusion ndo JK anaitaka hasa. hata kama umealikwa kupitia APRM huwezi kumfagilia hasimu wako kiasi cha kusema eti ina nguvu na kunguruma kama ndege ya air force!. SHIBUDA hana imani ya kweli na upinzani. Hajui wapi pa kushika hasa manake nia yake kubwa ni uongozi tu wa juu. hataki kuharibu sisiem moja kwa moja kwa kuwa hajui wapi atatokea. anajaribu kutega KOTE KOTE.
 
Shibuda hajifunzi historia. Umri wake haumsaidii. Ipo siku ataona condom iliyotumika ni bora kuliko yeye. Ni suala la muda tu!!
 
Hana cha falsafa wala chochote mnafiki tu na mbinafsi mkubwa!
Kakosa busara wala uwezo wa kuelimisha mroho wa madaraka, kwanini asikubali alipoenguliwa kura za maoni na ccm.

Mamluki mkubwa mfitini na mchonganishi.

Kwa ubinafsi wake hatabiriki na ndiyo maana kawekwa kando na cdm .
 
Shibuda hajifunzi historia. Umri wake haumsaidii. Ipo siku ataona condom iliyotumika ni bora kuliko yeye. Ni suala la muda tu!!


Majuto ni mjukuu ipo siku taukumbuka usemi huu.

Nampongeza kujiunga na opposition orphans' team wakiwemo Warid Kaburu, Masumbuko Lamwai, Shitambala na wengineo.
 
Hii ya Shibuda ni kama ya "Mwenda wazimu aliyekukuta ukioga.Akatwaa nguo zako na kukimbia nazo." Ukithubutu kumkimbiza wa kwanza kuonekana kichaa ni wewe mkimbizaji uliye uchi!
 
Sina shida na kauli za Shibuda kwa sababu najua he is a loose canon. Tatizo langu ni kwa serikali ya CCM na hata NEC ya CCM kuona kuwa Shibuda anafaa kutoa mafunzo kwa wakuu wa Mikoa na Wilaya!

Nilitegemea kuona watu kama Prof Shivji, Kamishna wa tume mipango -Hazina, mtu toka ESRF au REPOA, CAG wawe wanatoa mafunzo. Wakuu wa mikoa na wilaya wanawakilisha serikali (executive) kwenye maeneo yao.

Serikali inatakiwa itekeleze Vision 2025, sasa Shibuda anajua nini kuhusu vision 2025? Badala ya kutumia huo muda vizuri kujua priorities za nchi ni zipi, dira ni ipi, na wanatakiwa kufanya nini hawa wateule, CCM wanaona wamlete Shibuda kuimba ngonjera. Na hapa ndipo naona CCM wamefikia mwisho. Hivi kwa mtindo huu kweli Tanzania tunaweza kushindana na nchi jirani kama wakufunzi ni Shibuda na wakuu wenyewe wa Wilaya na mikoa ndio hao wachovu?
 
Sina shida na kauli za Shibuda kwa sababu najua he is a loose canon. Tatizo langu ni kwa serikali ya CCM na hata NEC ya CCM kuona kuwa Shibuda anafaa kutoa mafunzo kwa wakuu wa Mikoa na Wilaya!

Nilitegemea kuona watu kama Prof Shivji, Kamishna wa tume mipango -Hazina, mtu toka ESRF au REPOA, CAG wawe wanatoa mafunzo. Wakuu wa mikoa na wilaya wanawakilisha serikali (executive) kwenye maeneo yao.

Serikali inatakiwa itekeleze Vision 2025, sasa Shibuda anajua nini kuhusu vision 2025? Badala ya kutumia huo muda vizuri kujua priorities za nchi ni zipi, dira ni ipi, na wanatakiwa kufanya nini hawa wateule, CCM wanaona wamlete Shibuda kuimba ngonjera. Na hapa ndipo naona CCM wamefikia mwisho. Hivi kwa mtindo huu kweli Tanzania tunaweza kushindana na nchi jirani kama wakufunzi ni Shibuda na wakuu wenyewe wa Wilaya na mikoa ndio hao wachovu?
 
Back
Top Bottom