sikajiji
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 588
- 113
kwa wanaomjua Khalifa Khamisi hawapati tabu.Ni huyu huyu Khalifa Hamis wa kipindi cha kampeni au mwingine?
kwa wanaomjua Khalifa Khamisi hawapati tabu.Ni huyu huyu Khalifa Hamis wa kipindi cha kampeni au mwingine?
Hawa ndio waliahidiwa viroba vya mchele magu akiingia madarakani sasa mumeona mfano wake., Masheikh wa kiisalmu wameteswa sana jela na kufanyia kila unyama lakini hukuinua mdomo wako sasa unalalamika ufanyiwe uteuzi na rais., endelea kumuunga mkono.Wakati wa Jk watu walitokwa na povu la udini japo alikuwa anabalance sana,
Sasa huyu wa sasa toka kaingia 90% kaegemea upande mmoja wale wapiga firimbi wamezitia kwapani huwasikii kabisa, japo nilikuwa shabiki wake magufuli mpaka sasa namuunga mkono sana tu,Lakini teuzi zake ni za mrengo mmoja tu,zinaishara za udini na ukabila tu
Just thinking loud, kuna watu wanataka kugeuza dini zao utaratibu wa maisha wa watanzania kwa lazima, hata kama wapo wachache...... mambo ya kuteuna kwenye dini zenu yanahusiana vip na siasa za taifa??? i got highly frustrated when i see people treat others or want others to be treated on the side of their religion.. similar to racism....... ..
Duh! Hence proved by Sheikh mwenyewe, Teh! Teh! Teh!. Natamani network itengamae niisikilize kwa masikio yangu hiyo audio/video.Anasema Waislamu waliibeba CCM, ilikuwa ICU - Kumbe Waislamu ni wadini.
Hakuna sababu ya watuhumiwa wa makosa yaliofanywa Zanzibar nchi mshirika wa muungano wasihukumiwe Zanzibar na kuletwa kwa sababu ya unyonge wao.
Niliwahi kusikia jamaa ni shushu so anaweza ikawa amepewa kazi ya kuvuruga kitu furani ndio maana kanajifanya yupo karibu na waislam wote kwa sasakwa wanaomjua Khalifa Khamisi hawapati tabu.
Samahani wako si ujinga,si udubu,si ujuha wala si wendawazimu.Wako ni mchanganyiko maalum ya yote, uliokubuhu na kulidumaza bufuru la akili na nafsi yako kushindwa hata wa kutambua mashariki wala magharibi.Aisee umepotosha vya kutosha, Zanzibar sio nchi, nchi ni Tanzania. Zanzibar na Tanganyika zilikoma kuwa nchi tarehe 26/04/1964.
We sema tu makosa wameyafanya Zanzibar ila wanafikishwa kweye mahakama za Tanzania bara, acha kupachika vijineno nchi nchi.
Hawa ndio niliosema kuwa wanasumbuliwa na maradhi ya uelewa mgando ulioambatana na akili za kukamatiwa/kushikiwa.WAISLAMU ELIMU YAO NDOGO HAWAFAI KUWA VIONGOZI HALAFU WANA UDINI SAANAA...SIKU NIKIWA RAISI HAKUNA MWISLAMU ATAPATA NAFASI...WANA ROHO MBAYAA SAANAA...WANATUCHUKIA WAKRISTU WAKATI HATUNA HATA SHIDA NAO..ETI WANATUITA MAKAFIRI WAKATI SISI HATUWATUKANII...KIUJUMLA UONGOZI WA WAISLAMU UNA BASE SAANAA KATIKA DINI...KWA MAANA HIYO NAWAAMBIA NYIE WAISLAMU HAMFAI KUWA VIONGOZI HATA UMONITOR WA DARASA HAMFAIIII.......
ROHOO MBAYAAA...MNAPENDANA TU WENYEWE....!!
ETI SUBHANA WATAALA...WAISLAMU KUPENDANA....WAKATI INATAKIWA WOTE TUPENDANE KWA SABABU SOTE TU VIUMBE VYA MUNGU...!!
Just thinking loud, kuna watu wanataka kugeuza dini zao utaratibu wa maisha wa watanzania kwa lazima, hata kama wapo wachache...... mambo ya kuteuna kwenye dini zenu yanahusiana vip na siasa za taifa??? i got highly frustrated when i see people treat others or want others to be treated on the side of their religion.. similar to racism....... ..
Samahani wako si ujinga,si udubu,si ujuha wala si wendawazimu.Wako ni mchanganyiko maalum ya yote, uliokubuhu na kulidumaza bufuru la akili na nafsi yako kushindwa hata wa kutambua mashariki wala magharibi.
Hata hivyo sitachoka kuwaelimisha watu wa aina hii wenye kusumbuliwa na maradhi ya uelewa mgando ulioambatana na akili za kukamatiwa/kushikiwa.
1.soma "artcles of the union" na uzielewe mwenyewe, usichanganye na mawazo ya maskani.
2.soma Katiba ya Zanzibar, utapata jibu.
3.hakuna nchi duniani,inayoitwa Tanzania bara, kuna Tanganyika(iliojivisha koti la Muungno)
4. Katiba ya Zanzibar(kwa maana ya Katiba ya nchi) 1984,Sura ya kwanza inasema:-
(a)Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
(b)Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(kwa lugha fasaha ni kuwa Zanzibar ni mshirika-ufafanuzi ni wangu)
Huyu huyu. Kinyonga.Ni huyu huyu Khalifa Hamis wa kipindi cha kampeni au mwingine?