Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa Jk watu walitokwa na povu la udini japo alikuwa anabalance sana,
Sasa huyu wa sasa toka kaingia 90% kaegemea upande mmoja wale wapiga firimbi wamezitia kwapani huwasikii kabisa, japo nilikuwa shabiki wake magufuli mpaka sasa namuunga mkono sana tu,Lakini teuzi zake ni za mrengo mmoja tu,zinaishara za udini na ukabila tu
Mbona hamkuyasema wakati wa kikwete!? Hii ni double standardJuhudi na uadilifu ndiyo msingi wa maendeleo
Just thinking loud, kuna watu wanataka kugeuza dini zao utaratibu wa maisha wa watanzania kwa lazima, hata kama wapo wachache...... mambo ya kuteuna kwenye dini zenu yanahusiana vip na siasa za taifa??? i got highly frustrated when i see people treat others or want others to be treated on the side of their religion.. similar to racism....... ..
Mbona hamkuyasema wakati wa kikwete!? Hii ni double standard
Sheikh wangu usihangaishwe na mambo na kero za dunia ambazo hazikupi thawabu yoyoye. Nakushauri uangaike na kero za kidunia ambazo zinakupa thawabu na malipo mema. Sote tu wasafiri hapa Duniani, tutaacha kila kitu na Kwake tutarejea.Wakati wa Jk watu walitokwa na povu la udini japo alikuwa anabalance sana,
Sasa huyu wa sasa toka kaingia 90% kaegemea upande mmoja wale wapiga firimbi wamezitia kwapani huwasikii kabisa, japo nilikuwa shabiki wake magufuli mpaka sasa namuunga mkono sana tu,Lakini teuzi zake ni za mrengo mmoja tu,zinaishara za udini na ukabila tu
Haya wala hayanisumbui kichwa mimi,nawasema hawa wapiga zumari waliokuwa wakituimbisha wimbo wa udini utawala wa Jk, nawashangaa sasa hawaoni tena udini upande wa pili leo,Sheikh wangu usihangaishwe na mambo na kero za dunia ambazo hazikupi thawabu yoyoye. Nakushauri uangaike na kero za kidunia ambazo zinakupa thawabu na malipo mema. Sote tu wasafiri hapa Duniani, tutaacha kila kitu na Kwake tutarejea.
zamu zamuHaya wala hayanisumbui kichwa mimi,nawasema hawa wapiga zumari waliokuwa wakituimbisha wimbo wa udini utawala wa Jk, nawashangaa sasa hawaoni tena udini upande wa pili leo,
tuliwapa nafasi mkaiaribu nchi na kuifilisi sasa ni zamu ya wengine tulieniwatu wa dini ya elimu ahera tutaisoma namba awamu ya 5!
Kama ni hivyo mbona povu lilikuwa haliishi kuwatoka ooh serikali ya kidinizamu zamu