Upo sahihi mkuu,Nipo neutral sana Mr Hero, binafsi sioni kama dini au chama au kabila kama kigezo cha kumchagua mtendaji, nachopenda na kukiamini siku zote ni output yenye manufaa kwa watanzania
Upo sahihi mkuu,
Tatizo linakuja pale teuzi 99% zinapokuwa za dhehebu moja
Ni makusudi au bahati mbaya?
Nimeipenda hiyo ya waislam wa bakwata kila miaka kutumika kipindi cha uchaguzi kama toilet paper na ccm,kumbe ccm ilikua ICU
FaizaFoxy Ritz @khaatan Lizaboni big show MwanaDiwani
hawa jamaa ni waajabu sana. tena hawana hata aibu. sasa hivi utafikiri hawaoni.Wakati wa Jk watu walitokwa na povu la udini japo alikuwa anabalance sana,
Sasa huyu wa sasa toka kaingia 90% kaegemea upande mmoja wale wapiga firimbi wamezitia kwapani huwasikii kabisa, japo nilikuwa shabiki wake magufuli mpaka sasa namuunga mkono sana tu,Lakini teuzi zake ni za mrengo mmoja tu,zinaishara za udini na ukabila tu
Huyu anateua mtu kulingana na shule na sifa yake na si kwa dini yake kama alivyokuwa anafanya Jipu.Wakati wa Jk watu walitokwa na povu la udini japo alikuwa anabalance sana,
Sasa huyu wa sasa toka kaingia 90% kaegemea upande mmoja wale wapiga firimbi wamezitia kwapani huwasikii kabisa, japo nilikuwa shabiki wake magufuli mpaka sasa namuunga mkono sana tu,Lakini teuzi zake ni za mrengo mmoja tu,zinaishara za udini na ukabila tu
Kwa Hiyo wengine hawana shule wala sifa? dadavua kidogo mkuuHuyu anateua mtu kulingana na shule na sifa yake na si kwa dini yake kama alivyokuwa anafanya Jipu.
Mbona hamkuyasema wakati wa kikwete!? Hii ni double standard
Upo sahihi mkuu,
Tatizo linakuja pale teuzi 99% zinapokuwa za dhehebu moja
Ni makusudi au bahati mbaya?
HATA BADO - MAJI MTAITA MMAWakati wa Jk watu walitokwa na povu la udini japo alikuwa anabalance sana,
Sasa huyu wa sasa toka kaingia 90% kaegemea upande mmoja wale wapiga firimbi wamezitia kwapani huwasikii kabisa, japo nilikuwa shabiki wake magufuli mpaka sasa namuunga mkono sana tu,Lakini teuzi zake ni za mrengo mmoja tu,zinaishara za udini na ukabila tu