The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,906
Hahaha @ Manchester ya Tandale
Kwa hiyo Boss unadhani mtoto wa kike anaeambiwa afanye kazi za kike ndo kuwa anakumbana na "put down" nyingi?
EXACTLY....
chukulia huyo binti ana interest za kuwa refa wa football hapo baadae...
but akienda mpirani anaambiwa 'nenda jikoni'....au labda anataka kufanya
bussiness inayo relate na football....umeona????