Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Ni kisa cha weekend kwa kweli; jamaa yangu mmoja kaja juu dhidi ya mke wake kwa sababu mkewe ka-admit kwake kuwa ni kweli yuko attracted to a co-worker japo huyo co-coworker hajajua kabisa kinachoendelea. Mke kaadmit akiaini kuwa ni bora kusema mapema kabla mambo hayajaenda pabaya. Sasa kumwambia jamaa jamaa kaja juu na maswali lukuki akijihoji kuwa labda yeye ndiye sababu au kuna vitu hafanyi japo mwanamke anasema kabisa wala haihusiani na yeye (mume) ni kitu ambacho hata mwanamke hakielewi kwanini yuko attracted na huyo mtu mwingine - tumuite John.
Sasa, shemeji yetu hamwelezi mshikaji kwa sababu anasema kama angekuwa na nia mbaya asingemwambia (jamaa anasema labda amesema ili kuhalalisha). Lakini she swears hajafanya lolote lakini alikuwa anajihisi kama amecheat maana yuko comfortable sana na huyo John na ana enjoy sana company yake. Hajui kama anampenda au anamtamani
Mshikaji anaamini yuko sahihi kukasirika na sasa hivi amekuwa more than insecure kwani shemeji yetu kwa kweli wamo. Imeanza kuleta mgogoro usio wa lazima...
Kweli kuwa attracted bila kufanyia kazi ni kucheat na je kuna hekima kumwambia mwenzio majaribu unayoyapata huko kazini na usipomwambia yakafikia pabaya nani wa kulaumiwa?
Sasa, shemeji yetu hamwelezi mshikaji kwa sababu anasema kama angekuwa na nia mbaya asingemwambia (jamaa anasema labda amesema ili kuhalalisha). Lakini she swears hajafanya lolote lakini alikuwa anajihisi kama amecheat maana yuko comfortable sana na huyo John na ana enjoy sana company yake. Hajui kama anampenda au anamtamani
Mshikaji anaamini yuko sahihi kukasirika na sasa hivi amekuwa more than insecure kwani shemeji yetu kwa kweli wamo. Imeanza kuleta mgogoro usio wa lazima...
Kweli kuwa attracted bila kufanyia kazi ni kucheat na je kuna hekima kumwambia mwenzio majaribu unayoyapata huko kazini na usipomwambia yakafikia pabaya nani wa kulaumiwa?