zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Haya mwingine huyooo, Nyerere ametokea wapi ktk mada hii! yaani tafran tupu...
Uwataje MaRais wa awamu tatu baada ya Nyerere usimtaje Nyerere, inakuwa aidha humtendei haki Nyerere au huwatendei haki hao wengine. Hapo ndipo Nyerere alipotokea katika mada hii. Ukweli unauma na ndio maana inakupata hiyo tafrani.