Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,160
- 7,029
Wakuu hii PCCB ni upuuzi mtupu. nadhani hawa ni majizi wengine ambao wanakula hela zetu kwa mgongo wa hiki kitengo! ni aibu sana Hossea kutoa kauli kama ile halafu bado analala na kutembelea gari la umma. jamani si tuitishe maandamano/ semeni kweli tulianzishe