Chenge hata kama atakuwa cleared bado anatakiwa awaambie Watanzania:
1. $ 1.5 M alizitoa wapi?
2. Consultancy Fees na Personal saving anf Family Heritage anazodai ndo zimempatia hizo pesa ni zipi?
3. Kwa nini alitumia madaraka yake vibaya kuwaweka watanzania katika risk kwa manufaa yake tofauti na matarajio
4. Ameongea nini na PCCB wamemsafisha wakati Mdumange ndo kwanza unaaanza?
Ebu kuwa makini tafadhali.Give us the source of your story and respective date....
story yako inaweza ikawa ni ya 2006 UMAKINI kabla ya kupayauka please unatutia mzuka
Thanks Safari inabidi tumpongeze huyu Mark kwa kufahamisha UMMA hali halisiMnaong'ang'ania SOURCE hii hapa:
FOR MORE INFORMATION: Mark Polatajko | Head of Political, Press & Projects Section | Email: Mark.Polatajko@fco.gov.uk | Tel: +255 (0) 22 2290000 | Mob: 0754 764276
Du, PCCB wamechemka vibaya sana.
Any response from msemaji wa PCCB aliyetoa taarifa ya kumsafisha Vijisenti ?
Sasa PCCB watoe kauli nyingine kujifafanua kuwa "walimaanisha" nini...
Mwanakijiji na wengine,
Binafsi niliacha kufuatilia upuuzi wa PCCB tangu sakata la RICHMOND, Hosea ni Swahiba wa kina CHENGE na Lowassa, hawezi kwenda kinyume na Matakwa yao, kwani kunaTofauti gani wa sakata la Richmond na Hili, si alisema hadharani kuwa hakukua na utata katika Taratibu na wala hakukuwa na shaka kuwa ile ni kampuni ya KITAPELI.
MNAKUMBUKA alivyomzushia mgogoro Dr Mwakyembe , ili tu awanyamazishe wabunge wanaohoji maswala ya uwajibikaji wake.
Hosea si Mzalendo, Hosea ni mnyama wa kimaadali, ni mtu mwenye utu wa kujilimbikia mali, na mara hii anaenda kuumbuka tena.
pccb walifanya uchunguzi wao ******. Hosea nae mtuhumiwa kisha anamlinda mtuhumiwa. Hii yote ni kesi ya nyani na ngedere.
Source ya habari please!
Source please!
Tunaomba source ya taarifa hii
tafadhali sana
Give us the source of your story and respective date....
story yako inaweza ikawa ni ya 2006 UMAKINI kabla ya kupayauka please unatutia mzuka
Source: British High Commission in Dar.
1st post updated!
Sasa PCCB watoe kauli nyingine kujifafanua kuwa "walimaanisha" nini...
Ni lini PCCB ilikuwa credible, Richmond ilitosha kuonyesha kwamba they are not credible, not serious and absolutely reckless!