Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
mm naona njia njema kwa hawa watu ni huko mahakamani na kwa hili hakuna mazungumzo
nnapishana na ndugu yangu na waziri wangu, hawa wahuni si wakuzungumza nao amewaona makamba hawa ubabe walionao sheria tu ndio inayowafaa
Sawa taahira wangu. Anaetaka mazungumzo ni serikali na CCM. Aliyefungua kesi ni huyo huyo sasa mazungumzo ya nini? Kesi ikiisha asubiri kufunguliwa kesi ya ukatili dhidi ya binadamu ICC. Na wewe michango yote itapelekwa kama ushahidi wa uchochezi.