Jamani tuache kufuru ina maana haya ni ya wale waheshimiwa wa kuandaa mchakato wa katiba mpya au ya sensa? Walalahoi tunaangamia vifaa na madawa hospitalini hakuna, walimu ndio hivyo tena. Kama mambo ndio hayo inamaanisha hata chama kingine kitafanya hivyo hivyo kwa kufuata ule msemo wa aliyenacho ataongezewa!