King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,594
- Thread starter
- #21
hivi tuliambiwa bei ya CT SCAN ni ngapi vile maana kikwete alisema hiyo hela serikalini haipo...
$700,000 ni nyingi sana kununua ct scan.
hivi tuliambiwa bei ya CT SCAN ni ngapi vile maana kikwete alisema hiyo hela serikalini haipo...
Ndo "mtoto wa mkulima" kang'ang'ania.Kama ni Kweli baaasi hakuna heshima ya kuwa Waziri Mkuu Tanzania
Nimekupanulia vizuri nadhani...Thanks kwa kuikuza maana kwa cm mtihani,kui-attach tu nimeangaika nayo kweli.
Mbona sijaona kielelezo kuonesha kuwa ni magari ya serikali
Unbelievably true!!!
CCM ni bonge la problem.......hapo ujue kuna yale ya zamani yaliyomaliza 4 years kuna watu watauziwa 2m au 3m @ na watapewa haya mapya!
Mahakamani! Mahakamani! Bunch of jangiliz wamejaa huko
Jaribu tenaIzi ngoma zina plate namba za sirikali?nimeshindwa kuzum