Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Najaribu haikubali,ngoja nikifika home kwa PC.
hizi nzuri zina na keria.
Najaribu haikubali,ngoja nikifika home kwa PC.
Samahani jamani lakini naomba kuuliza. Mleta mada kaja na maneno tu kuwa serikali imenunua magari na kuweka thamanbi yake. Kisha akabandika na picha ya magari. Hivi hapa kuna uthibitisho wowote kwua serikali imenunua magari haya yanayoonekana kwenye picha?
najaribu haikubali,ngoja nikifika home kwa pc.
Samahani jamani lakini naomba kuuliza. Mleta mada kaja na maneno tu kuwa serikali imenunua magari na kuweka thamanbi yake. Kisha akabandika na picha ya magari. Hivi hapa kuna uthibitisho wowote kwua serikali imenunua magari haya yanayoonekana kwenye picha?
basi utakuwa umenunua wewe ukatoa msaada serikalini.
Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
:doh::doh::doh::doh::doh::doh::doh:...hii nimitaa ya jengo jipya karibu na Ocean Road Hospital...kweli naona hii si serikali sikivu..maana haya madude wangea mua kununua PRADO Ingekuwa bei nafuu na pesa ingebaki wakanunua madawati.....Madawa mahospitalini na vifaa!!
the last time i checked kikwete alisema ni mwisho wa kununua haya magari.
Just like he claimed to significantly reduce his tour trips abroad!
To my suprise, he still maintains a record if not to break his own.
Hicho ndicho tunachopaswa kuepukana nacho. Kufikiri vitu na kuvifanya kuwa kweli bila uthibitisho. Nimesema kwua sibishi, ninachokitaka ni utyhibitisho kuwa serikali imenunua magari hayaHayo magari 25 kwa serkali yako ni magari machache sana!! Stuka wewe usiwe kama Thomaso we una fikiri ya nani hayo?
Hicho ndicho tunachopaswa kuepukana nacho. Kufikiri vitu na kuvifanya kuwa kweli bila uthibitisho. Nimesema kwua sibishi, ninachokitaka ni utyhibitisho kuwa serikali imenunua magari haya
Hicho ndicho tunachopaswa kuepukana nacho. Kufikiri vitu na kuvifanya kuwa kweli bila uthibitisho. Nimesema kwua sibishi, ninachokitaka ni utyhibitisho kuwa serikali imenunua magari haya
Mkuu unamaanisha unatetea serikali kuhusu hili??STK ni magari ya kupewa au ni kutoka ndani ya serikali??Hicho ndicho tunachopaswa kuepukana nacho. Kufikiri vitu na kuvifanya kuwa kweli bila uthibitisho. Nimesema kwua sibishi, ninachokitaka ni utyhibitisho kuwa serikali imenunua magari haya
Basi utakuwa umenunua wewe ukatoa msaada Serikalini.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mkuu a nimeziona picha hivyo nimekubali kuwa mflisi wa serikali hii ni serikali yenyewe!!Mkuu habari ya kufikirika au??toa picha mkuu maana serikali kwa kauri yake yenyewe ilisha sema kuyauza hata yaliyopo sasa hayo 25 yanini??Na Palm residence ni wapi mkuu?? King Kong III
Kuna TISS wa mabwepande na kuna wa ukweli(JF)....Nimekubali jf ni 1st tiss! Nilikuwa nimepata chance ya kwenda tiss! Ila nimeona bora nibaki jf! Nadhani nitakuwa mkali zaidi
naomba mnielewe jamani... katika hili siitetei wala siisemi serikali, mpaka nitakapothibitisha au kuthibitishiwa kuwa magari haya yamenunuliwa na serikali. Hivi ni gumu kuelewekahilo?Mkuu unamaanisha unatetea serikali kuhusu hili??STK ni magari ya kupewa au ni kutoka ndani ya serikali??
Kwani sredi ya title imesemaje? kama unataka usibitisho fuatilia then uje ku-confirm basi.